lirik lagu jux. – unaniweza
abbah
[verse 1: jux]
pindi ukicheka we, mi moyo unanitabasamu
huwa mwenye kujihisi mororo
ila ukilia wee, hata kula nakosa hamu
huwa mwenye kujihisi mdororo
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
[verse 2: jux]
sitamani mwingine, wala sidhani ka ataweza kutokea
maana mambo yako moto moto, moto
labda upite ushetani mwingine, maneno ya watu nishazoea i don’t care
kila kukicha choko choko, choko
unavyonipa raha, ndiyo nanepa mie
penzi lako natinga, navimba nabembea
kinachokufaaa, usisite niambie
kwako niko radhi hata zege nibebe, machinga nidadishee
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweeeza
abbah
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu the true blue – heads up
- lirik lagu prettyboy col & hazeyskies – intro
- lirik lagu luckyest – no billing
- lirik lagu dasywarren – night thoughts (intro)
- lirik lagu las pelotas – saben
- lirik lagu ronny j – banded up
- lirik lagu lightnin’ hopkins – fugitive blues
- lirik lagu marco borsato – breng me naar het water
- lirik lagu white 2115 – 4me
- lirik lagu anna jantar – chcę kochać