lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu davy kamanzi / dvk – wake up

Loading...

[intro: dvk]
the f~ck is this n~gga still doing asleep at 5 pm, man?
dude must’ve been sleeping in the morning this whole f~cking week, man, jesus
ebu hold on

[hook: dvk]
wake up
wake up
wake up
wake up
wake up
wake up
wake up
wake up!
[verse 1: dvk and lilmaina]
last night ilikuwa ngori, man
acha nikuambie story, man
tulikuwa na mzinga, ndani ya dinga
nyuma ya lorry, man
last night ilikuwa ngori, jo (jo)
gari iligusa 140, jo (ai)
na tulitoka kupewa, then tukalewa
mi sina worry, jo (ai, ai, ai)
last night ilikuwa ngori (mm)
makarao walitukang’a (ati?)
hongo tulianza kuchanga
buda, tulikuwa tu na soo saba, huh (wueh)
yeah, nikachanga soo nane (yeah)
toka kwa block, tano nane (mm)
huyo goon alitutoka, mwizi, mkora
si apatikane? (ai)
five~o pulled us over
tulikuwa lit na ilikuwa shida, huh (shida)
tulianza kutokwa jasho
ka tunacheza mpira, huh (wueh)
anza kuficha mzinga, utatukinda (yeah)
wacha ujinga, huh (wueh)
bangi hatujazima, huh
beast atatumaliza, huh
yeah, beast atatumaliza
wewe si w~ngu, acha ujinga, uh (ujinga)
pesa ndio lugha, my dear
ona ukikosa venye wataringa, uh (wueh, wueh)
avoid a lot of description
kama watataka, watakusikiza, uh
mike posner, 2014
just took a pill in ibiza, uh (wueh, wueh, wueh)
you might also like
[hook: dvk and lilmaina]
wake up (mm, yeah, uh)
wake up (wueh, wueh)
wake up (yeah, wueh)
wake up (yeah, wueh)
wake up (mm~hmm)
wake up (hmm~mm)
wake up (hmm~mm)
wake up!

[verse 2: lilmaina and dvk]
yes, ni mimi (mm)
na nikibonga, please, fyata ulimi (fyata ulimi)
na buda si siri (uh)
why do you want me na we ni kafiri? (wueh)
kwani ni nini? (nini?)
ai, my bro, unawashwa na nini? (na nini?)
tulia ukae chini (mm)
ai, siamini una~burn hivi (mm, ai, wueh, heh!)
huh, hakuna choo
and i need to pee (i need to pee)
mi ni slay king, bro
this life is not for me (aki walai)
msee amedenki kwa corner
ka ni pit latrine (ala!)
mwingine ananikodolea macho
ka ni mr. bean (mr. bean)
mr. right, i piga lean (piga lean)
tumeachana, what do you mean? (wueh, wueh)
she was really the girl of my dreams
martin luther, yes, i had a dream (i had a dream)
zimeshika, jo, kuliko jana (wueh)
na kajaba ndio mimi nachana (jaba)
ni saa sita? eh, ni mchana
twende home, bro, umeharibu sana (sana, uh, wueh)
huh, it’s time to go
i wanna leave this place (i wanna leave)
rudisha doh, rudisha simu
nijikate please (rudisha simu)
huh, kufika home, jo
what a disgrace (uh?)
askari alikuta mboch
akamwaga kwa plates
[hook: dvk]
wake up
wake up
wake up
wake up
wake up
wake up
wake up

[outro: lilmaina]
ah, huo karao amenipea manoti imbo
na sina kitu kwa m~pesa, yaani
monday niko job na sina fare
na matha haezi nipea doh, sh~t
itabidi nimetafuta sponyo sasa
nipate nyama ingine ya kudishi hapa karibu nikirudi home
kuna time huu matha alidai nimkule, eh
ebu ngoja
(phone ringing)
h~llo?
h~llo? sema mama tevo
aki si umenitupa? mambo?


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...