lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu young daresalama – daresalama (intro)

Loading...

nawaza kombe la ushindi, staki glasi ya bakari
maisha yanakwenda faster kama gari ni bugatti
sidanganyiki na bata nisharidhika na ugali
n~z~di kuwaacha fake mcees na maswali

leo ujinga kaniacha na uzembe kaenda mbali
na uvivu ndo kadanja, siku hizi hata silali
washa mwenge wa amani, washa moshi hewani
brother kesho haijulikani leo cheza nami

huu mziki naufanya bila sticky za home
we ndwiga unanitishia kivipi i’m grown
bro i’m strong ila naheshimu machizi
mi ni young but am after doh so ni lazima niwe busy
and am busy busy, nataka girlfriend now (no no)
nishafika umri wa kuwa so naitwa boyfriend now

wanasema mimi sio conscious pro
hawajui nilichofanya mi ndo favourite wao
cause nakaza huku naanza safari ya muziki
alafu nalaza walioanza huku napitia kwa juu
usiogope mi ni mdogo tu
ila nang’ata ka mamba aliyekamata kangaroo

no bomboclat my head mi i smoke music
lemme smoke allday and k!ll this beat
hii ni gongo we ni soft drink
oya mbezi tell’em what you think baby
haina budi kuniheshimu ka inabidi nikuheshimu
i’m all about green nipe kwanza taslmu cash
hizi pesa zina stim afuelini ya kutoa walio slim
kwеnye ibada za mizimu

mbali naona fake rappers ka cartoon
stabiriki ka mvua za darеsalam leo na doh
acha nishike nishafika platnumz (paka!)


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...