lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu willer – natokea_mtaani

Loading...

intro
yeah yeah yeah

chorus
nahaso mchana (mchana kutwa)
usiku na’ball na wauni
mademu wawili niko nao magetoni
wanachezea mti kama tarzan
nakichafua kama binladen
kama snitch bora ukae mbali
n~ggas know i make it happen
shout~out my n~gga rayvany

verse_1
natokea mtaani na kuhusu mitaani hakuna ambacho skijui (hakuna)
hatuishi kwa amani kila kukicha kukimbizana na mapai
tunatokea ghetto kauka nkutinge t~shirt tatu trouser mbili (haaanh)
hatulali tunapiga dili (yeah) tunataka kua matajiri
majengo secondary nakutana na demu mkali anaitwa mgeni (madame)
ana macho mazuri amejazia hatari af ni secretary
akilizungusha hatari
namuelewaga hatari
skai kizembe na sinaga wenge
niko fasta kama rari (skrr skrr)
yeah’ wanangu wanapiga dili wanao wanakaa kizembezembe
madogo wanajikutaga ni wakali si tunawaona ka wa~~~~e
hawana chochote zaidi ya wenge
wapo kama wanapigwa k~~~ndе
wanangu ni hush puppies tunamove kimyakimya hatuna wapambe
last king likе tiger
pull up like alqaida
smoke for lunch kamakawaida
nyeus kama sigida
24/7 nasaka doo bro na bunduki ka ya buda (ppao)
umevaa ila hiyo chain fake bro unaonekana ka wakuja
tunaish fasta kama lamborghini hatukai kiree
na tunachotaka kufanya tunafanya saivi hatusubiri badae
tunatokea mtaani kama we ni waki atuhang na wee
money before the deal unataka tupe dili hutaki jikatae
verse_2
i do this sh~t for my n~ggas
tunafos kila mida
mtaani sio poa police wanaboa
wanatutaman kila mida
naamka asubuh sina vibe af ukichek muuni sina vyangu
naenda kwa shivo anafanya maajabu
nadrop laface kufos na wanangu
mishe mishe mingi sina muda na demu w~ngu
24/7 ni mi na wanangu
ndomaana nafanya hii kitu kwa wanangu
na nsingekua hapa kama sio wanangu
misele daily kusaka chapaa
hakuna kupumzika hadi siku nakufa
mishe mishe kila kona ya mtaa
kulia nna shada kushoto nna mkokaa
mitaa inajua willer balaa
natembea nikirap wanafkiri nakichaa
nak~mbuka nlivokua nashinda na njaa
ghetto kutwa nzima sina hata raha
saiv niko pizza hut mkuki house na wanangu tunakichafua
wanangu wote wanatokea kwenye shida, wanao wote wakishua
wanao wote masnitch
wanangu wako real na hawajawai kufek
real life like yungeene ace
nakubalika kila street
masnitch wote mi na shoot
schekicheki na masnitch
leta usnitch nikushoot
natembeza kama john wick
nafanya hii kitu kwa maisha bro
staki utani
i got the key to the street bro
huwez shindana na mi
skai kizembe nafosi bro
na lazima ni win
niamini mimi bro haujui chochote kuhusu mimi
chorus
nahaso mchana (mchana kutwa)
usiku na’ball na wauni
mademu wawili niko nao magetoni
wanachezea mti kama tarzan
nakichafua kama binladen
kama snitch bora ukae mbali
n~ggas know i make it happen
shout~out my n~gga rayvany (willer)


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...