lirik lagu vijana wenye nguvu – washangaze
washangaze lyrics
verse #1
baba, twaja kwako
hmmm
matatizo yetu yote, twayaleta kwako
maadui wetu wote baba, washangazwe. nimengi walio tutengea, wameshindwa
baraka zetu zitokazo juu mbinguni washangazwe, unavyo tubariki
mahendeleo ya kazi yako yapatikana
ehhh
hmmm
chorus:
maadui zako watahona ufanikiwavyo, wakutegeayo ndiyo baraka zako za kesho. vicheko hmm maishani mwako
akuna kitakacho kuzuwia wewe kaza mwendo x2
hmmm
verse #2
maneno yako yanipa hekima yakuwa ndani yako
nitapiga vita
nitashinda wote, waje kwanjia moja. kw~nguvu zako watasambaa kwanjia saba. ma adui wote awata niweza. mafanikio yangu kwako yapatikana
ehh ehh ehh… ohh, hmm
ehhh, hmm
verse #3
sasa maadui zangu wote jueni, ninaye simba wakabila la yuda ndiye yesu
(mfalme wawanani)
mfalme wawafalme
(ndiye nani)
ndiye bwana
ataweza kubadilisha mahisha yetu
(ehhh)
ehhh
atuwa zangu ni yеye anajua, atuwa zetu ni yeyе anajua
woah woah…
chorus:
maadui zako watahona ufanikiwavyo, wakutegeayo ndiyo baraka zako za kesho. vicheko hmm maishani mwako
akuna kitakacho kuzuwia wewe kaza mwendo x2
hmmm
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu naes & v47ko – never fall (feat. demigod status)
- lirik lagu eel_197 – change your tune
- lirik lagu seanbennett618 – crying 4 the weak
- lirik lagu jady – feel my face
- lirik lagu the cast of paradise pd – fuck the fish
- lirik lagu dayosonic – plantain & beans
- lirik lagu 1rehab – hacked my instagram (cover)
- lirik lagu sadtrojan – price tags
- lirik lagu amateur (spain) – un cabreo pasajero
- lirik lagu tabahi – escape from reality