lirik lagu vanessa mdee – hawajui
[intro]
nahreel wussup wussup wussup wussup
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[verse 1]
kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
nini tilalila usiku mchana unabwabwaja
kwako mi mpira unanicheza unavyotaka
kila siku beki leo kipa nimekudaka
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[verse 2]
choko choko ndiyo mambo mliozoea
kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah
eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda
mungu ndiyo ananilinda
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
kunisema kwa ubaya
na ukiapa kwa mungu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
written by: elias barnaba, vanessa mdee, noel mkono
produced by: nahreel
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu bones – lavenderscrub
- lirik lagu damso – brouillard
- lirik lagu solomon grey – hidden planes
- lirik lagu amber mark – monsoon
- lirik lagu gillie da kid – tattoo
- lirik lagu øystein sunde – det var i ’68
- lirik lagu quincy (french) – on fait pas semblant
- lirik lagu d-double – stand up
- lirik lagu kari bremnes – sangen om ka ho anna drømte om
- lirik lagu laboum – two of us