lirik lagu vanessa mdee - hawajui
[intro]
nahreel wussup wussup wussup wussup
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[verse 1]
kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
nini tilalila usiku mchana unabwabwaja
kwako mi mpira unanicheza unavyotaka
kila siku beki leo kipa nimekudaka
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[verse 2]
choko choko ndiyo mambo mliozoea
kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah
eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda
mungu ndiyo ananilinda
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
kunisema kwa ubaya
na ukiapa kwa mungu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
written by: elias barnaba, vanessa mdee, noel mkono
produced by: nahreel
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu frank zappa - you didn't try to call me [road tapes, venue #3]
- lirik lagu m le maudit - zéro
- lirik lagu saga (can) - fire
- lirik lagu bizarre ride - double lief
- lirik lagu dirt nasty - x-mas rap
- lirik lagu demrick & cali cleve - space island
- lirik lagu tiësto - coming home
- lirik lagu hugo toxxx - views
- lirik lagu wael27 - ob rapper oder nicht
- lirik lagu rupaul - feel like dancin' (jared jones remix)