lirik lagu sir yongo – mtanziko (utata wa maisha)
[intro]
yeah, yeah, yeah
woah, woah, woah
oo ooo ooo
it’s sir yongo!
[verse 1]
utamu wa kuogelea, ni kuwa ndani ya maji
utamu wa kuongea, upate msikilizaji
utamu wa mw~ngaza, mpaka ujue na giza
nuru inapotandaza, hutoweza kubeza
[pre~chorus]
ni kama mtanziko, haya mambo
huku na huko, mbiu ya mgambo
ni kama sielewi, kutoka kitambo
uu uuuu
[chorus]
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
[verse 2]
mbogi inasema, “yongo ’sikate tamaa”
nami nasema, “vipi na hizi balaa”
nikilalama wanasema, “si sawa”
“zidi ‘kazana, hiyo tu ndiyo dawa”
[pre~chorus]
ni kama mtanziko, haya mambo
huku na huko, mbiu ya mgambo
ni kama sielewi, kutoka kitambo
uu uuuu
[chorus]
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
utata wa maisha, tunapambana
ili na sisi, tuweze kufana
[outro]
ni kama mtanziko
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu депресфрик (depresfreak) – семь (seven)
- lirik lagu lony bway – wewe hapoo
- lirik lagu don vail – sister
- lirik lagu rokko weissensee – menschentum
- lirik lagu pamela hilton – r.i.p kris jenner
- lirik lagu а кто поёт? (who sings?) – нехудожник (remastered speed up)
- lirik lagu doe boy – ain’t bout nun
- lirik lagu antonvstheworld – i don’t mind
- lirik lagu alfahanne – svarta får
- lirik lagu hifire (pol) – paranoje