lirik lagu sir yongo – hurulaini
eh eh!
eh eh, eh!
baby wacha n′nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n′seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
nimekuchagua, naamini unanipenda
penzi nikaamua, sitoweza kukutenda
huba ni maua, harufu tamu imetanda
vile wanitambua, nitazidi kukuganda
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi, mw~ngu mtimani
nakuona wewe (eh eh!), mwenye thamani (eh eh, eh!)
baby wacha n’nene (wacha n′nene), nakupenda sana
baby wacha n′seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
mtoto mwenye figa, ninajua ulivyoumbika
sura wanaiga, kimwana umehulukika
madaha kama twiga, nikikuona nabambika
vile wanipendaga, kwako baby nimeshika
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi (nimekuhifadhi), mw~ngu mtimani (mw~ngu mtimani)
nakuona wewe (nakuona wewe), mwenye thamani (baby una thamani)
katu sitoweza (sitoweza, baby), kukutupa chini (aaah!)
ashizo baby
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu lucianoano – leite inside (demo)
- lirik lagu sadus – first blood
- lirik lagu kubus – babiiyeti
- lirik lagu ivana spagna – l’ora dei ricordi
- lirik lagu clemens – en hel normal nat
- lirik lagu nicolas mccoppin – i talk to ghosts
- lirik lagu zaho3a – дым(smoke)
- lirik lagu alsarah & the nubatones – jibal alnuba
- lirik lagu yubi wheel – www.watchpeopledie.tv
- lirik lagu renao – won’t u