
lirik lagu sir yongo - hurulaini
eh eh!
eh eh, eh!
baby wacha n′nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n′seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
nimekuchagua, naamini unanipenda
penzi nikaamua, sitoweza kukutenda
huba ni maua, harufu tamu imetanda
vile wanitambua, nitazidi kukuganda
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi, mw~ngu mtimani
nakuona wewe (eh eh!), mwenye thamani (eh eh, eh!)
baby wacha n’nene (wacha n′nene), nakupenda sana
baby wacha n′seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
mtoto mwenye figa, ninajua ulivyoumbika
sura wanaiga, kimwana umehulukika
madaha kama twiga, nikikuona nabambika
vile wanipendaga, kwako baby nimeshika
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi (nimekuhifadhi), mw~ngu mtimani (mw~ngu mtimani)
nakuona wewe (nakuona wewe), mwenye thamani (baby una thamani)
katu sitoweza (sitoweza, baby), kukutupa chini (aaah!)
ashizo baby
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu young crow - strictly for the wire
- lirik lagu lil pasty - instrumentals r my friends
- lirik lagu şövkət ələkbərova - şirin qızım
- lirik lagu lil van (can) - diámetro
- lirik lagu simon linsteadt - if music isn't real
- lirik lagu d4vd - cold in the summer
- lirik lagu hannah connolly - vienna
- lirik lagu andre merritt - alter ego
- lirik lagu e.m.i.l. (ro) - scheleți
- lirik lagu krystal evette - things you ruined