lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu sagi – opps

Loading...

triple xl ndio sachet
opp alikang’wa kudoze na rachet
mi na tippy toe na ma~packet
naruka mitaro, machwani kwa jacket
mi si mzii? sawa
nishow kuna mgani anaspit ki sniper
nawakata ki~tikitaka
f~ck! mi nawazima ka vipers (hisss!)
daily mi na saka bunda
sina time ya kuchill na ma~dunder
so na move ah! ju na ju~a
hizi rhyme ziko lit za kishu~a
so mature, very sure
kando yangu ni simba wa yuda (roar)
sagi ua, mi na ua alafu mi nakutoka ki~sure
mtaa iliniwacha na scar
munga ni ka tuko ndani ya c~ckpit
tukianza wali~doubt sai wanapenda
i’m feeling the opposite
naona past ma~disguise
huwezi funika ma~ball na ma~dowry
demons zangu exorcised
process ni easy, ni ku~legalize
east rep tuna~move ki~bazuu
fake ones wanaslide
second half nili~equalize
wakashukisha ma~pride
boy ali~b~tch na tukipatana
zake zilikuwa ku~hide (prrr!)
anabahati, chrome kwa mbosho
sagi is ready to slidе
daily mi niko on bana
na si story za stima (wooo!)
form zetu ni za chrome bana
guaranteed utazima
sagi mhenga mdogo bana
wananiita addi tеacher
ju vibes ninazo bana
kidogo nikuwe hadi addi preacher

ah!
na~flow vifiti ni ka mi ni river
after after break~o ni kuwasha ki~reefer
puff, puff, puff na~feel kama winner
mi niki~step niko na g~bag
n~ggas ni lame, wao ni ma~r~t~rd
sagi the name, uliza ndio jina
siwezi relate ju si ni ma winner
ah!
mboka teke ni ka ni wakanda
(ka ni wakanda ah!)
fanya wera joh achana na mganga
(wachana na story za mganga)
note to self, usiwahi toka mkamba
(kasee, kasee, kasee)
utashtuka uligeuzw~nga shamba
(wooo! wooo!)
ah! sagi, check

ah!
kila siku mi na…
kila siku mi na rise
mambleina wabaki wakidhani ni jua (mi ni jua)
na nitazidi tu ku~rise
hadi ile day mi nitawacha kupumua (nikidedi)
tukiwa chini, joh, tukiwa kwa floor
hakuna msee mmoja alijua
si ni maisha so mi nasonga
na mi napiga madua (amen!)
mi ni hatari mi nikilala si mi huota mistari
ati sagi ni moto sagi ni fire
ungedhani kalahari (wooo!)
mi nilipewa pano na mode wa duty nikaenda missing (walai)
k~mbe mi niko chini ya waba
tunasema niko fishing (niko fishing)
mwisho wa game, kikombe
so niko rada nasaka the prize
mistari zangu highgrade nikiwapita
wanashout “legalize!”
mimi ni plug saka connect
kama ile bt device (wooo!)
mistari grade unataka collab
bana si ufike the price (wooo!)
na ni manoti, para za ufala mi sitaki
you’re wasting my time (ah~huh!)
na ka si ganji hunioni
sagi mastered the art of the vibe (kapish!)
si walitry kucheza na mimi wakapata
mi ni satan, lucifer
mtaa kunakuw~nga na pagan (ah! ah!)
bei samani napiga ma~range
na sibongi kuhusu rover (ah! ah!)
nimetambua kanda za zamani
mi huskiza kina hova (walai)
game ni ngumu na mi najikaza
ju ni lazima manoeuvre (lazima lazima)
nguvu nayo mimi ninayo
hashtag ni #simbawayuda
boy ali~snitch, boy ali~b~tch
si ungedhani ye ni judas
rest in peace monroe
boy ali~batizw~nga jina huddah
wait, luda
(bana…)


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...