lirik lagu q chief – uwapende sana
ninachokipata eee nagawana na wenzangu
ondoa mashaka
eee leo sio juzi
it does matter aaya
kikubwa pumzi
kiko muvi,
it does matter ayayaa
unachotaka usisahau ukikipata,
ukipata usisahau kuna hom
k~mbuka ni mungu juu ya vyote,
tazama juu,
utaniona nuru
baba god baba god baba god baba god jerusalema.
yayayaaa nawapenda sana we ×2
mpatie chumvi jirani,
usisubiri shukuran,
usiweke kisirani ukayaweka moyon kifuani,
cha mwingine usitamani
hatuwez kufananaa,
ndivyo ilivyo duniani jitiada tafuta utapata,
unachotaka usisahau ukikipata
ukipata usisahau kuna hom
k~mbuka ni mungu juu ya vyote,
tazama juu utaiona nuru
baba god baba god baba god baba god jerusalema.
yayayaaaa nawapenda sana we
nawapenda sana we yayaya
yayaaaa nawapenda sana we ×2
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu porcos cegos – sub-gerência
- lirik lagu absence – irreplaceable
- lirik lagu adrian stern – meer schaffed das
- lirik lagu blind pigs – sempre avançar
- lirik lagu ashes to amber – miss future
- lirik lagu blind pigs – the punks are all right
- lirik lagu saltyxa – боль (bol’)
- lirik lagu pink flamingo rhythm revue – diamond man
- lirik lagu easykid – drama (feat. gianluca, ceaese & taiko)
- lirik lagu kingdan – money piles