lirik lagu prof. jay – nang’atuka
Loading...
yeah
napiga goti natubu
kwa mungu w~ngu na jamii
nimefanya mambo mengi
kwa kutumia cheo
naamini cheo dhamana
nisamehe nisamehe
nang’atuka nimeshaikosea jamii nikajiita mungu mtu nikajiita nabii
mwenyeenzi k~mbuka na nafsi hii
napiga goti natubu daima nitakusihi
nang’atuka nimeshaikosea jamii
nikajiita mungu mtu nikajiita nabii
muda sasa umewadia ndugu zangu watanzania
mambo niliyoyafanya hayapaswi kusimuliwa
tangu nilipoomba kura kwenye ndio mzee
mkanipa na kusababsha uchumi ulegee
kura zikawa kula nikaishi kwa mlungula taratubu nikaanza kubadili mfumo na sura
nasisitiza sana masuala ya ajira
k~mbe uongo nikaanza kugawa vyeo kwa hila
hata mashori w~ngu niliweka mataahira na kusababsha uongozi w~ngu upoteze dira
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu potter payper, kaymuni & kb – free kaymuni
- lirik lagu marowhite – gölge imparatorluğu
- lirik lagu karlos slimm – elon
- lirik lagu smokkimane – как я провел это лето (how i spent this summer)
- lirik lagu lil dove – carolina (inception remix)
- lirik lagu a-pass – bagonza
- lirik lagu телевизор (televizor) – сиди дома! (sit at home!)
- lirik lagu lucajonathan. – demo 997
- lirik lagu betru – mio
- lirik lagu jj grey & mofro – on a breeze