lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu pozi – kasha

Loading...

intro
kama uko fiti fiti fiti yeah yeah yeah salamu hazitoshi wowo wo yeah

verse 1
waitwa nani waishi wapi, kipusa kama wewe wanipagawisha (nimekuona siku nyingi tena huringi) wewe uko bomba hutishwi na shilingi waitwa nani waishi wapi, kipusa kama wewe yapaswa kuwa nami, waitwa nani waishi wapi, sipendi kuropoka usije katoroka

chorus
sasa mambo fiti fiti fiti sana salamu hazitoshi lazima nitakuja na kasha kasha kasha langu

verse 2
najua unadhani mi nichizi ni dakika thelathini hujasema kitu(mbona)samahani naitwa pozi na si mchokozi nina swali unaishi wapi unaitwa nani kidosho kama wewe (kama wewe)unafaa (unafaa)kutabasamu,ukinuna mi nanuna ukicheka mi nacheka usiponipa namba mi ntakufuaata(ntakufuaaata)

chorus
sasa mambo fiti fiti fiti sana salamu hazitoshi lazima nitakuja na kasha kasha kasha langu x2

bridge
vipi ungekuwa bibi ingekuwa vipi ingekua mimi sisi tungeishi bila ubishi na mapenzi halisii wewe na mimi tuwe bwana na bibi

chorus
sasa mambo fiti fiti fiti sana salamu hazitoshi lazima nitakuja na kasha kasha kasha langu x 3
kama uko fiti fiti fiti yeh yeh yeah salamu hazitoshi wowo yea


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...