lirik lagu phina tz – sisi ni wale
sisi ni wale tuliosaidiwa na mungu
sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
sisi ni wale tuliosaidiwa na mungu
sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
sina hela, sina pesa, sina doh
sina nyumba sina gari, sina ooh
kila kukikucha mi naiwaza kesho
napiga moyo konde nitafika ooh
wanaokudharau leo
watakusalimia kesho, kwa heshima
wanaokusema sema, watakusifia kesho
unaokula nao na kucheka nao
kesho ukidondoka utokuwa nao
piga moyo konde
wakati wa mungu wakati sahihi
piga moyo konde
wakati wa baba wakati sahihi
(sisi ni wale)
sisi ni wale tuliosaidiwa na mungu
sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
sisi ni wale tuliosaidiwa na mungu
sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
jana niliumwa, nikadhani nitakufa
leo niko fiti, ukinicheki nadundika
nilipoachishwa kazi walidhani nitasota
leo nipo juu ile kibosi nadundika
kama unaamini umesaidiwa na mungu
piga kelele
kelele moja
(eeh) kelele mbili (eeh eeh)
kama unaamini umesaidiwa na mungu
piga kelelе
kelele moja
(eеh) kelele mbili (eeh eeh)
sisi ni wale tuliosaidiwa na mungu
sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
sisi ni wale tuliosaidiwa na mungu
sisi ndo wale tuliobarikiwa na baba
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu lor complex – anymore
- lirik lagu yolyboy – deep feeling inside
- lirik lagu rex orange county – much too much
- lirik lagu astrovamps – ghost parade
- lirik lagu reverend kristin michael hayter – a beautiful life
- lirik lagu hinzy – muerte
- lirik lagu unrest – teenage suicide
- lirik lagu paul johnson – get get down (mixed)
- lirik lagu jason graae – no, mary ann
- lirik lagu kmfdm – totem e eggs