lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu otile brown – ulishindwa

Loading...

najua nampenda si utani
sikutamani k~mtenda tangu zamani
ila unafahamu kwamba mimi nilimweka ndani
ndo maana hata ukikaa naye tu chumbani
ewe kwenda someee
wewe ni mwongo sana
unajifanya unampenda
sababu niko nayee
haiyayayaya some wewe
haiyayayaya niko naye
ulinifanya niwe mjinga
tena tapeli wa mapenzi
kwenye swala la mapenzi
unataka tu niwe kayumba
(oooh baba yeah we tuga)

ooh nini nanana mi ndo ticha wa haba
ooh nini nanana wewe kwako ulishindwa
sasa vipi tena maneno maneno unaongea
asa vipi tena kunung’unika kwako moyo unaniuma some
naamini walaghai ata penzi ninaona kama halifai
ndo maana najidai ata nikiwa naye nani nainai
ndo maana nipo na yeye chumbani
nikikaa nikiwaona naye najiwa sawazisha
ndo maana nakwambia ata wewe haufai
ungekuwa rafiki mzuri mama, ungeniletea na zawadi
ungemleta kw~ngu chumbani
alafu nikwambie vitu fulani
si machoche chuchuria
k~mbe moyo wako unaumia
yaani kama niko naye zawadi nitakuletea
kadi nzuri nipo naye,kadi nzuri ooh ya ndoa
oooh wee
ulimchezea kw~ngu mi aaah
sawa, ulimchezea kw~ngu haj~potea some
ooh nini nanana, mi ndo ticha wa haba
ooh nini nanana, wewe kwako ulishindwa
sasa vipi tena maneno maneno unaongea
asa vipi tena kunung’unika kwako moyo unaniuma some
unajifanya tena mjanja
tena mjanja tu wa mapenzi
kwenye swala la mapenzi mimi naamini tuwe kayumba
oooh ila tu na wewe, we muoe basi
ila tu siongei sana muoe basi


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...