lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu otile brown – nitulie

Loading...

mmmh
ulivyonijaza mpaka pomoni
mwingine mi sioni
we ndio unaye nifaa
namshukuru mola
maanani wewe kunipa
wazazi wako wape na radhi
milele daima
urembo wako wa kipekee

na pendo langu
kwako wewe
halina kipimo
na si lazima nikwambie
macho yangu ni shahidi(haya)
nitazame
utaelewa ninavyohisi(hayaa)
noo noo
acha nitulie nitulie
oooh nitulie
we ndo kiboko yangu mimi
acha nitulie nitulie
eeh, unanielewa sana mimi
acha nitulie nitulie
oooh nitulie
we ndo kiboko yangu mimi
acha nitulie nitulie
eeh, unanielewa sana mimi
nimeona cha mtima, cha mtima
cha mtima cha moyo
kwako nazama mazima
mazima, wala si kidogo
basi niambie hunny
unanipenda kiasi gani?
penzi langu hatari
ilishavunjaga mizani
basi shake it, kidogo (hayaa)
back to the top, kidogo (hayaa)
mimi nawe mpaka majogoo
basi shakе it, kidogo (hayaa)
back to the top, kidogo (hayaa)
mimi nawe mpaka majogoo
acha nitulie nituliе
oooh nitulie
we ndo kiboko yangu mimi
acha nitulia nitulia
eeh, unanielewa sana mimi
acha nitulie nitulie
oooh nitulie
we ndo kiboko yangu mimi
acha nitulie nitulie
eeh, unanielewa sana mimi
acha nitulie nitulie
oooh nitulie
we ndo kiboko yangu mimi
acha nitulie nitulie
eeh, unanielewa sana mimi
acha nitulie nitulie
oooh nitulie
we ndo kiboko yangu mimi
acha nitulie nitulie
eeh, unanielewa sana mimi


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...