lirik lagu otile brown – aje anione
oooh,
ooh baby,
naamini kila binadamu ana ubaya na uzuri wake, baby,
mmmh,
naamini kila binadamu ana madhaifu yake,
ooh baby,
mmmh,
nami yangu nayajua na nakabiliana nayo,
ila mwenzio sitojua kwa kosa la kuumiza moyo wako, ooh nisamehe
tena najuta, najuta eeh,
aah, yalonikuta,
kazi ya ibilisi mama,
tena usiku silali,
labda nilewe chakari,
ama nilale mama na picha yako kifuani,
ndo nijisuku nami je unaniwaza
mmh baby,
ama tamaa kw-ngu ulishakata,
aje anione, aje akanione,
aje anione,
aje anione ne ne ne ne
wajua ninakukosa sana, hasa giza linapotanda,
mi mahututi,
mi mahututi
wajua nmekuzoea mama, nakuhitaji leo zaidi ya jana,
na endapo utachelewa mama,
mi maiti,
eeeh,
tena najuta, najuta eeh,
(mamaa)
yalonikuta,
kazi ya ibilisi mama,
tena usiku silali,
labda nilewe chakari,
ama nilale (mama) na picha yako kifuani,
ndo nijisuku nami,
je unaniwaza,
mmh, baby,
ama tamaa kw-ngu ulishakata,
aje anione, aje akanione,
aje anione,
aje anione ne ne ne.
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu saara aalto – queens
- lirik lagu angeloh – for sure
- lirik lagu kim petras – human
- lirik lagu eben franckewitz – lambo
- lirik lagu emma drobna – remember
- lirik lagu b.the great – family fued’s
- lirik lagu tiffany gómez – gorgeous
- lirik lagu coexister – extrait de la bande originale du film “
- lirik lagu martin nievera – love me for what i am
- lirik lagu osvaldorio feat. sheila dara aisha – you’re the kind