lirik lagu otile brown – acha waseme
kama riziki unatoa, basi ntakosa
ila kama ni mola lazima ntapata×2
bwana shetani muongo , muongo we!
mbona umejawa na kinyongo ndugu we!×2
bwana niambie x3 wapi nilipokuudhi naomba uniambie
mana sio sawa kama we wanichukia , nia njema nlio nayo kwako ndo mafanikio yangu , wakati mimi nakuombea mema , waniwazia mbaya ooh sio sawa
ooh so sawa
ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waonge ×2
wewe unanichukuia ata zaidi unavojipenda
unafikiri nafikiri unavyofikiria mana nia zako sio njema
chochote nachofanya unanielewa makosa
lolote nachofanya unanihuk~mu vibaya
wapi nilipokukosea ningependa unieleze
wapi nilipokuudhi ningependa uniambie
maana sio sawa kama wewe wanichukia , nia ooh njema nlio nayo kwako ndio mafanikio yangu
wakati mimi nakuombea meme , waniwazia mabaya ooh so sawa
ooh dhamira yangu , ndo nguzo yangu
ooh wema w~ngu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waongee×4
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu king saca – weather
- lirik lagu lil 3nvi – bunnymen
- lirik lagu black gryph0n & baasik – diamond
- lirik lagu prokash singha – utthankothon (revived)
- lirik lagu enpii on earth – stick up
- lirik lagu lowkeybaitss – never enough
- lirik lagu himynameisshan. – not-so perfect
- lirik lagu dappy – fire in the booth
- lirik lagu prowcinnblock – cyberch
- lirik lagu xavian – all night long