lirik lagu nviir the storyteller – pombe sigara
[intro]
oh ooh, pombe sigara
naweza wacha bila kung’ang’ana
lakini hawa wasichana
vile nawapenda
ni kama laana
oooh, sol generation
and that’s how we tell aah
ooh lord
[verse 1]
naskia walevi huota na beer
lakini kuna siri nitawaibia leo
see i’m not addicted to alcohol
i’m not a victim not at all
yalimpata samson
yakampata solomon
[pre-chorus]
situation hugeuka tricky
kila shimo napanda miti
contribution kwa team mafisi karura
eeey, situation hugeuka tricky
kwa hivyoo
msiniweke kamba kwa shingoo
[chorus]
pombe sigara
naweza wacha bila kung’ang’ana
lakini hawa wasichana
vile nawapenda aah
ni kama laana ah
[verse 2]
somebody is cool and not fine
tell them that’s how we tell a heart’s gone down
eti alivunja shingo akalemewa
akatoa fimbo nje ya ndoa
na hivo ndivo alijichomea
[pre-chorus]
eeey situation imekuwa tricky
kuna shimo alipanda miti
na hivi sasa ako kamiti kwa jela
heey, situation hugeuka tricky
kwa hivyoo
msiniweke kamba kwa shingo
[chorus]
pombe sigara ah
naweza wacha bila kung’ang’ana ah
lakini hawa wasichana
vile nawapenda
ni kama laana ah
oooh yeah, yeah
[outro]
pombe sigara ah
naweza wacha bila kung’ang’ana ah
lakini hawa wasichana (maze)
vile nawapenda
ni kama laana ah
oooh yeah yeah…yeah
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu arttheboy – that’s enough
- lirik lagu 277* [collective] – don’t slip
- lirik lagu etterna – before our lives
- lirik lagu mo-beazy – say my name
- lirik lagu gkr – kúl
- lirik lagu veaux – heart right
- lirik lagu cold hart – forg3t m3
- lirik lagu noah gundersen – styrofoam
- lirik lagu littleboy – imperfect
- lirik lagu venz – a volte ci penso