lirik lagu nay wa mitego – hawakatai
hawakatai, hawakatai
hawakatai eeh katai, hawakatai (hawakatai)
hawakatai eeh katai, hawakatai
sijui wana tamaa ukipendeza wanajileta (hawakatai)
sura mbaya imekomaa utawapata ukiwa na pesa (hawakatai)
ukimfuata na gari hata kama la kuazima
ujue amekwisha huyo (hawakatai)
akikupa namba we tuma salio
mwambie njoo ghetto (hawakatai)
mmekutana leo, unamwomba leo
na anakupa leo (hawakatai)
ukimpa mimba mzee, ukimwambie akatoe (hawakatai)
~~~
~~~
hawakatai eeh katai, hawakatai (hawakatai)
hawakatai eeh katai, hawakatai
hawakatai, katai, katai, hawakatai (hawakatai)
hawakatai, katai, katai, hawakatai (hawakatai)
eh eh … hawakatai
sijui ushamba
akikupenda hata ukiomba picha za utupu (hawakatai)
wanajiona wajanja wakati ulimbo wao ni bia na chips kuku (hawakatai)
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu westcoat – the wrong way
- lirik lagu ffragezeichen – spiegelbild
- lirik lagu the smashing pumpkins – fireflies
- lirik lagu priteo – emoción y coraje
- lirik lagu naked gypsy queens – down to the devil
- lirik lagu brenda mtambo – khululeka
- lirik lagu basic boy – если бы (if)
- lirik lagu nle choppa – who they gone call on
- lirik lagu neck – macacos
- lirik lagu whokilledxix – iclappedcheeksingreenhill (joey trap stole my girlfriend)