lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu micjack – washa

Loading...

washa lyrics
(verse 1)
katoto whiteish unapendeza
kwa chako kikoi na macho yako kengeza
wala hakuna hata ubishi mate nameza
mi niko hoi hadi ramani napoteza
aaaaah onaaa

(hook)
unanichanganya unavyotingishasha
baby gimme more
nisije kwako nikavimbisha daily
si unanijuaga mi n~z~disha
that is money lossah
fanya ka unaminyisha yeiyee

(bridge)
washa taa tucheze kama ioka
na nikilala nianze tu kuiota
zima taa tuzame kwenye hii quarter
leo ni show kali baby washa mzuka umeshapanda

(chorus)
eeh eh eh eh washa washa (washa)
washa washa oh baby washa washa
eeh eh eh eh washa washa (washa)
washa washa oh baby washa washa
eeh eh eh eh washa washa (washa)
washa washa oh baby washa washa
eeh eh eh eh washa washa (washa)
washa washa (mbona kama ya moto)
(ma baby nipe joto)
(chocho kwa chocho)
(nilishе mapocho pocho)
(verse 2)
twendе taratibu usinimeze nzima nzima
ki design ma sa tubakize mboga
nipe na vya chini sipendi panda mlima
na ukichoka mi ntakupandisha boda
ah baby put it down (weka)
drop it down (weka)
i like dat your smile
mi napenda unavyo (cheka)
ma piece one (deka)
kwa mahaba umeni (teka)
hadi nimefall in love
i swear you’re heart (breaker)

(hook)
unanichanganya unavyotingishasha
baby gimme more
nisije kwako nikavimbisha daily
si unanijuaga mi n~z~disha
that is money lossah
fanya ka unaminyisha yeiyee

(bridge)
washa taa tucheze kama ioka
na nikilala nianze tu kuiota
zima taa tuzame kwenye hii quarter
leo ni show kali baby washa mzuka umeshapanda
(chorus)
eeh eh eh eh washa washa (washa)
washa washa oh baby washa washa
eeh eh eh eh washa washa (washa)
washa washa oh baby washa washa
eeh eh eh eh washa washa (washa)
washa washa oh baby washa washa
eeh eh eh eh washa washa (washa)
washa washa (mbona kama ya moto)
(ma baby nipe joto)
(chocho kwa chocho)
(nilishe mapocho pocho)


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...