lirik lagu mbosso – amepotea
amepotea lyrics ~ mbosso
vipeperushi vinasambaaa
eti natafutwa
nimepotea, wiki imekata
ndugu wamechachamaa
wananitafuta
nimepotea mwezi imekata
kazini sionekani
yupo wapi huyu
simuni sipatikani
yupo wapi huyu
baba kaniuoizia
yupo waapi huyu
mama haishi kulia
yupo wapi huyu
mimi, nimezama katika kina
kirefu cha bahari ya mapenzi
nimezama katika kina
kirefu cha bahari ya mapenzi
sio mwana rahabu mlomkuta tanga
sijafanywa msukule msipate tabu k~maliza waanga
amenirudisha shule hesabu maumbo kupanga
penzi lawa sasa mbule lenye protini vitamini na w~nga
aaah ladha yake, si sukari
ni vichenza na malimao
mechi zake huwa hatari
ni chenga na mabao
kazini sionekani
yupo wapi huyu
simuni sipatikani
yupo wapi huyu
baba kaniuoizia
yupo waapi huyu
mama haishi kulia
yupo wapi huyu
mimi, nimezama katika kina
kirefu cha bahari ya mapenzi
(msinitafute, msihangaike)
nimezama katika kina
kirefu cha bahari ya mapenzi
nipo salama mimi, nipo salama mimi
msinitafute niko salama mimi
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu peyton parrish – valhala calling
- lirik lagu 3lackeye – be well
- lirik lagu free rock – the battle of baytu
- lirik lagu mezzrow (swe) – frozen soul
- lirik lagu original broadway cast of in transit – a little friendly advice
- lirik lagu emily doolittle – stay o sweet
- lirik lagu madmars – chimica
- lirik lagu iritil & kirb – не по пути (not on the way)
- lirik lagu denzel himself – davey
- lirik lagu زيزي عادل – wahda tanya | واحدة تانية – zeezee adel