lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu mbosso feat. diamond platnumz – baikoko

Loading...

ayo laizer…
kako fine
kila ninikaweka kwenye line

(bilabila)
shuwaini
kwake nimelewa kama wine
(tilalila)

ye sisimizi nami gegedu
tuna gegeduana
nilivyo sina jinsi
tajiri wa mbegu
namuhonga na mwana

baba mndenge mama mzaramo
uno lake la kurithi
kafunga tenge mwali chakalamu shetani mwana ibilisi

jipuu (jipu)
uchungu (uchungu)
mwana nyuma umejaza
kishundundu

kwenye zipu (zipu)
kuna kirungu (kirungu)
usikamate utawaita wazungu

eeh heeh…
babu mkuna n~z~ aah haah achutama kishinani
na msuli wake upo wazi
mambo yote hadharani

go! go! go! go! goal
mtoto anadaka
goli kipa runya mira (wabeja)
tena akikata anaitikisa sababu

baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyoinyonga (baikoko)
eeh waonyeshe (baikoko)

baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyoinyonga (baikoko)
eeh waonyeshe (baikoko)

asa komesha dengua! dengua
baby dengua! dengua
ringa dengua! dengua
deka dengua! dengua wakuone

kanivua ndala miguu
anataka nipite peku (peku peku)
kunduchi juu anifikishe kwetu
(kwetu kwetu)

embu tamu ladha ya kitumbua
rojo ya embe kibada! kibadah
hodari kunengua
miuno ya ushubwada (shubwadah)

nyuma kalisasambua
kafungasha midabwada (bwaadah)
anavyo tafuna mua
ka kibogoyo dada!

katoto kamelainika kwala (kwala)
kapo kama ndizi banana (nana)
nitakapeleka kwa mama (mama)
mama dangote

kama kuku twakimbizana (zana)
kana ibuka kana zama (zama)
kamwili kana balaa na lana (lana) lana kazote

ebooh! mtoto anadaka
goli kipa ronya mira (wabeja)
tena akikata anaitikisa sababu

baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyoinyonga (baikoko)
eeh waonyeshe (baikoko)

baby acha unachezaga (baikoko)
unavyo baby (baikoko)
unavyoinyonga (baikoko)
eeh waonyeshe (baikoko)

asa komesha dengua! dengua
baby dengua! denguagua
ringa dengua! dengua
deka dengua! dengua wakuone

kama anaifata
anaima anainuka mwali anaifuata
kwakujishebedua
anainama anainuka mwali anaisusa

kama hataki mwaache
anaima anainuka mwali anaifuata
kwa madoidoi
anaima anainuka mwali anaifuata
(brrrok)

(ka~mix layzer)
(wasafi)


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...