lirik lagu marioo – raha
black
-beat
aaah mmh
ah unaringa umepima aah utajijuu huu mwaka utachina si uleta unyang’au
ukaukwi kunitishia unaondok unaondok
kama daladala za kariakoo inatoka inatoka
hadharani unanisusia kuropoka ropoka
kama domo lako shimo la choo yanakutoka
na kwa taarifa yako nishapata kwa
kuegemea mh napendwa na sio kama ninavojidekea
huruka yako ya pupa mwezako
ananinyenyekea ooh kutendwa nakusikia kweny bomba
na tena na enjoy mpaka raaha mpaka mh
natakatishwa mpaka raaha mpaka
ananipaga kutwa mara tatu mpaka raaha mpaka
naogeshwa nakandwa mpaka raaha mpaka
na tena na enjoy
napenda akinipa
akinipa migandisho
kama anapigwa shoti
akisakata migandisho
na kama penzi bahari lake kwa muda
naelea maana nishazamaga nishakufa mzoga
na kama penzi melody kali mi kwake ndo
burudani wala sizani kama ataridhika kunikosa
na kwa taarifa yako siwezi kuanguka maana
nishapata kwa kuegemea mh napendwa na sio kwa ninavojidekea
huruka yako ya pupa mwezako
ananinyenyekea ooh kutendwa nakusikia kweny bomba
na tena na enjoy mpaka raaha mpaka
natakatishwa mpaka raaha mpaka
ananipa kutwa mara tatu mpaka raaha mpaka
naogeshwa nakandwa mpaka raaha mpaka
na tena na enjoy
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu marshmello – angklung life
- lirik lagu cyrax – i like
- lirik lagu shoreline mafia – jugg-n-out
- lirik lagu king combs – heaven sent
- lirik lagu pivot gang – 500
- lirik lagu nolanberollin – don’t look at me ??
- lirik lagu busta rhymes – pon de replay (remix)
- lirik lagu the derailers – alone with you
- lirik lagu swizz beatz – let me see ya do your thing
- lirik lagu lil reek – rock out