lirik lagu marioo – aya
mmmh,mmmmh
uwooo yeiye
(mocco)
mmmh,mmmmh
ndo kusema kwamba nina bahati mbaya
ama ni nyota imefifia ah
maana sio kweli
kila siku mimi ndo naumia
ndo kusema kwamba sura yangu mbaya
haina hulka ya kuvutia ah
maana sio kweli
kila siku mimi ndo naumia
ina maana penzi
lingekuwa chombo cha usafiri
ningekosa hata sehemu ya kusimama
ningewezaje? nitawezaje?
au labda mapenzi
hufaa kwa matajiri
alafu mi hapa sina maana
sa nitaanzaje? nitaanzaaje?
inawezekanaje nikose kufurahi
siku zote ninazoishi na uhai
najua mungu hapendi
walimwengu mna visa
nikisema niage nitakuwa najilaghai
moyo utakuwa bado unanidai
acha niweke imani
ipo siku nitaridhishwa
aya! aya!
aya! aya!
na sinacho maanisha mnakijua
kuyakosa mapenzi inanitesa
sawa nakua nayaona
sa mbona yananizidia?
hivi nacho maanisha mnakijua?
upweke unanitesa
halafu nakuwa nawaona
wengine wanaenjoy(aaah!)
ingekuwa gambe
ndio dawa ya mawazo
ningekunywa nilewe
aah nilewe, nilewe
inawezekanaje nikose kufurahi
siku zote ninazoishi na uhai
najua mungu hapendi
walimwengu mna visa
nikisema niage nitakuwa najilaghai
moyo utakuwa bado unanidai
acha niweke imani
ipo siku nitaridhishwa
aya! aya!
aya! aya!
moccog~nius!
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu sofos – phantom
- lirik lagu bush league – we’ll figure it out
- lirik lagu gam1 – richer
- lirik lagu young buck – public opinion (50 cent diss)
- lirik lagu beta berk bayındır & ceza – kriminal
- lirik lagu hemlockkkkkk – блеск луны (shine of the moon)
- lirik lagu slowmo stone – dreams
- lirik lagu mvhvmud – ron pálido
- lirik lagu sxy5.45 – живем жизнь
- lirik lagu joachim witt – ja, ja…