lirik lagu maestro dekula (dekula band) – agnes
[chorus 1]:
nasikia umekwama
tatizo la usafiri
tena uko kisiwani
umezunguukwa na bahari
nitakutumia ndege
ije ikuokoe
ndege hiyo agnes
ni kenya airways
[vers 1]
ningeli kutumia meli lakini kama ujuavyo
kuna dhoruba kubwa baharini (yo, yo, yo)
chombo hicho kita chelewa kufika
matatizo na mengineyo
imenifanya niogope
kwakuwa agnes sitaki usafiri wamashaka (yoyoyo ah yoyoyo)
[chorus 1]:
nasikia umekwama
tatizo la usafiri
tena uko kisiwani
umezunguukwa na bahari
nitakutumia ndege
ije ikuokoe
ndege hiyo agnes
ni kenya airways
[chorus 2]:
usikate tamaa tutaonana
hapa nilipo ingawa ni mbali
bado nakuwaza, bado nakuota
panda ndege uje ewe, kipenzi changu mamy
[vers 2]
oh mwana mama, kipenzi changu
ulaya niliko ni ulaya ya maneno
baridi yanipiga bila huruma
panda ndege uje, kipenzi changu
ewe kipenzi changu njoo
[chorus 2]:
usikate tamaa tutaonana
hapa nilipo ingawa ni mbali
bado nakuwaza, bado nakuota
panda ndege uje ewe, kipenzi changu mamy
[vers 3]
mambo ya ulaya ,ni kyamukanda
matope ni nyeupe, ukija utaona
gari za moshi, chini ya udongo
air tanzania, flying my baby
ewe kipenzi changu njoo
[chorus 2]:
usikate tamaa tutaonana
hapa nilipo ingawa ni mbali
bado nakuwaza, bado nakuota
panda ndege uje ewe, kipenzi changu mamy
[outro]
(bobo) yo mwasi kitoko bonzenga
(bobo) ozalaka lofundu mingi mama
(bobo) i love you
(bobo) moi je t’aime, moi je t’aime bobo
(bobo) nakupenda we nakupenda
(bobo) jag älskar dig jag älskar dig
(bobo) i love you
(bobo) na tina nini na tina nini
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu kalamari – kup besed
- lirik lagu fingertips – love is the weapon
- lirik lagu mars playground – money
- lirik lagu keb’ mo’ – what’s happening brother
- lirik lagu juiceb☮x – nobody knows
- lirik lagu 마이크로닷 (microdot) – 기억이 나네 (i remember)
- lirik lagu rewethard x voomit boofpack – godblessmydick
- lirik lagu charlélie couture – la vague
- lirik lagu little graves – cannons
- lirik lagu k.will – wake