lirik lagu madini classic – ex!
madini classic ex lyrics
madini classic yeaay (handsome)
kwanza, wacha nikushukuru umefanya nikajua mapenzi
kwa mateso yako
kwa vituko vyako
nikajifunza kujienzi (ma~ma~maa)
ila,hali yangu sio mbaya
natumai wee ulipo uko salama (uko salama)
na ilishapenda tena
mmmmh mi bado napambana
napambana na hali yangu
na sina sababu ni vile naiona dunia tamu.
mi bado napambana
handsome napambana na hali yangu
na sina sababu ni vile naiona dunia tamu.
natamani hata siku moja mimi nikupigie,
ila moyo unakataa.
natamani hata siku moja wewe unipigie,
aaaah, siwezi pokea.
namissi vile vituko vyako
kununa hata kwa makosa yako
nakuk~mbuka sana.
natamani hata siku moja mimi nikupigie,
ila moyo unakataa.
natamani hata siku moja wewe unipigie,
siwezi pokea.
nikuache, wacha nikuache ×4
ilivyo huyo mume wako anakudekeza nilivyokuwa kwako?
na ukinuna, anakubembeleza ama anakuvuruga eeeeh?
wanasema hata ng’ombe maskini huzaa
siku hizi nimeongeza ujanja mitaa
nalewa pia navuta widaa
ujuzi kitandani nimeongeza sanaa
hela nimepiga sina shida tenaa
nalewa pia navuta widaa
namissi vile vituko vyako
kununa hata kwa makosa yako
nakuk~mbuka sana.
natamani hata siku moja mimi nikupigie,
ila moyo unakataa.
natamani hata siku moja wewe unipigie,
siwezi pokea.
nikuache, wacha nikuache ×4
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu unsecret & manafest – light it up
- lirik lagu yuni wa – teardrops
- lirik lagu макулатура (makulatura) – проклятие (curse)
- lirik lagu dj stretchman – my place
- lirik lagu united shapes – buttercup
- lirik lagu chubbz nipple – this is an intro (feat. phila king)
- lirik lagu yoste – we’ll be alright
- lirik lagu lil front – stan twitter
- lirik lagu norah jones – flame twin
- lirik lagu fäaschtbänkler – homo sapiens