lirik lagu ksonrap – usiguse
[intro]
ksonrap
nipo na d black
dat’s what’s up
[verse:1]
kuanzia asubuhi mpaka jua linazama/
mateso zaidi gerezani gitarama/
nasiwezi kukimbia majuk~mu yaniandama/
sina tabasam mikausho mikali mpaka noma/
nikilala nakoroma ndoto zakutisha/
ugali ni wa dona kiporo kimebaki toka jana/
mawimbi ni makali nahisi jahazi litazama/
maadui wanafurai kuona na mawazo nimeshika tama/
sina washkaji ndugu wamenitenga sina hata mwana/
nimekondeana sana nguvu zimebaki ni zangama/
kichwani nimebeba mzigo wa lawama/
walionipima kwa macho walidai nina ngoma/
nimadawa nayovuta na sindano nazo choma/kujidunga
natetemeka muda wote alosto kama vile mwenye homa/
niyakosa tu nahisi nikiahama bila coca/
nishapelekwa sana sober nikatoroka/
nimechoka/
usijaribu../
usiguse..usinuse utafanya ukoo mzima ukususe../
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu gucci mane – trap house (live)
- lirik lagu keithan – has to be cover
- lirik lagu tg kommas – hit dat hoe
- lirik lagu leyes – suéltate
- lirik lagu knownbyalex – wanted
- lirik lagu vav – by my side
- lirik lagu keaton henson – hide those feelings
- lirik lagu king lil g – blue hundreds
- lirik lagu jase51 – очі (eyes)
- lirik lagu memorize the dictionary – leave me be