lirik lagu ksonrap – ulijua
word up!
yeah!yeah..
ksonrap!
you know what i’m sayin?
ulijua utabaki kwenye chart tu milele;
ulijua hakuna wengine zaidi yako wewe;
ukawa unakula vifaranga kama mwewe;
wewe ndo wewe kwenye vioo ukatupa sana mawe;
ulijua utabaki kileleni ka pierre konkfire;
ukajiona king kong ukataka kutawala kila kingdom;
ukawa mtu wa vinyongo na visasi wapinzani ukapiga marisasi;
ulijua wenzako wakifa utabaki;
udhulumu mirabaha ukataka kuharibu hii sanaa;
ulimuacha ukijua ni mgumba hatozaa
ulijua atakonda atachakaa;
ukaloga ituandame mikosi mabalaa;
ulikuwa mbinafsi ka mubutu ukaijenga bandolite;
ukavamia na mitutu ka bash~te;
ukamtisha mpaka nape
ukatumia sana ubabe ukapiga sana dili za mazabe;
huk~mskiliza dada mange
chid alikwambia ukasema mvuta bange;
haukujua mwisho wa moto ni majivu
ubaya mwisho wake ni aibu;
ka sabaya leo yamekusibu;
what goes around..comes around;
ulijiamini kama idd amini ukataka kuiteka na kagera;
wapinzani uliwatupa sana jеla;
kwenye game ukataka mkubwa kama fеlla;
huwezi kuwa juu..juu (juu juu)
forever (forever)
huwezi kuwa juu juu
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu kabzawabenoni – benoni small farms
- lirik lagu the real chainz – topic of discussion
- lirik lagu gangang collective – gang bangers
- lirik lagu david childers & the serpents – a married woman
- lirik lagu alex vilenskiy – фрау (frau)
- lirik lagu mike francis – high school teacher
- lirik lagu billie marten – drop cherries
- lirik lagu the new christy minstrels – mighty mississippi
- lirik lagu roshercg – estoy dudando
- lirik lagu mantra – changes