lirik lagu ksonrap – matumizi ya r na l
[intro]
ksonrap
jifunze matumizi ya r na l
you know what i’m sayin’
[verse: 1]
inanipa sana kero../
kiuwezo wadogo ka janjaro../
unashindwa kutamka !ata tomorow morogoro kilimanjaro../
utasema mdomoni una ugoro au mc wa vigoro../
hawajui tofauti ya mtalo na mtaro..habali na habari../
hatali na hatari..safali na safari..ntawapeleka tena jando kuwatahiri../ darasani tena kuwafundisha kiswahili..mswahili nomino nahau mstatili../
mtakosa hata madili kwakukosa maadili natabiri../
makafiri..njiani mtakosa usafiri mnashidwa kujistiri../
kwenye macho nawapaka pilipili../
hamuwezi kurap mkasuke tu ukili../
mnashidwa kuzitunza hata siri../
mnajiona wasanii kwakuvaa tu vipuli../
ngoma mbili mnajikuta ndo magwiji nnataka kushindana na manguli../
kama shivji au vitali napigana vita nivikali../
mauwaji ya kimbari../kaza buti tusonge kiaskari../
peku peku utakanyaga misumari/kwanza jikubali..tafakari../
piga duwa kila hatua kwanza sali../
mungu ndo amenipa hiki kibali../
navyopenda ushairi zaidi mchaga na mtori../
mi ndio simba kwenye pori../
usilate usela wakuwasha kitu shali../utafeli
ukitaka kwenda ulaya usizamie kwenye meli../
f
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu zxmra – ain’t it lovely?
- lirik lagu iann dior – me myself n i
- lirik lagu netilove – звездочкой (asterisk)
- lirik lagu einar solberg – remember me
- lirik lagu kid milli (키드밀리) – test me?
- lirik lagu buckcherry – summer of ’69
- lirik lagu slund – hot and spicy
- lirik lagu ya nina (alb) – ment e mia
- lirik lagu madj (krystal) – écorchure
- lirik lagu hedex & bou – pub grub (vip)