lirik lagu ksonrap – haujamskia
hauk~mskia babuu alivyokwambia kimbia/
hauk~mskia salut alivyosema chunga sana/
sikio lakiziwi haukusikia ya wahenga/
kifo jela au za umataasisi hak~mskia langa?/
hauk~mskia jaymoe aliposema ulimwengu ndo mama/
hamk~mskia roma/
ulikuwa wapi wakati tmk wanapiga mapanga/
rafael hauk~msikia saganda/
wakati wagosi wapotanga au dani msimamo siku nzuri inavyokwenda/
hak~mskia balozi dola ubalozini/
sasa yupo unyamwezini marekani/
ungeona mbali ungemkiliza afande wa darubini/mkali wa hizi rhymes
sasahiv ni waziri ila alianza kitambo hicho mwanafalsani/
unaweza k~muita binam wa mabinti dam dam/
please forgive me kama hauk~msikia majani watu waligonga nakala kwa mamu/
haukuwaskia kikosi wakati wanapiga mizinga pale block 41 (kino)/
ilikuwa ni noma usiuze wakati kiraka rado ana mwaga sana wino/
hauskia wakati anatubu chidibenzino haukukaa tayarl kunamskiliza jos mtambo kigambonino/
ulikuwa kijijini sitimbi wakati asuu anatamba na misambano/
kulikuwa na mwinjuma mumini kabla ya hizi amapiano/
umekosa vingi hauk~mskia hongera wa michano/
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu alicia keys – nat king cole (live from movistar arena bogota, colombia)
- lirik lagu shroom – fly guy
- lirik lagu squadra ortofrutta – gore. – elax
- lirik lagu matthaios – patago
- lirik lagu lonely drifter karen – seeds
- lirik lagu bradley palermo – 2nd wind
- lirik lagu romanthony – body language
- lirik lagu hakuna group music – en lo hondo
- lirik lagu nyarons – この道 (konomichi)
- lirik lagu the hamster alliance – neon glow