lirik lagu kayumba – umeniweza feat linah
umeniweza baba, umeniweza mama
tulivuka viunzi pamoja kwa kushikana mikono
ukawa upande w-ngu mwili mmoja hatukuishia kwenye midomo
shida matatizo tulivuka pamoja
haukunitupa mkono
ukanifunza mapenzi njia moja
michepuko ina vikomo
hukupagawa na hili jibu kati yaani
tamaa hukuipa nafasi yaani
ukanitia moyo nitapata nami
kwani ridhiki mtowaji maanani
hukupagawa na hili jibu kati yaani
tamaa hukuipa nafasi yaani
ukanitia moyo nitapata nami
kwani ridhiki mtowaji maanani
nijivunie nani kama si wewe
mengine sitamani vyote napata kwako wewe
ooh unajua kunichombeza
ooh hodari wa kubembeleza
ooh wewe pekee unaniweza
ooh kama mboga na kombeleza
ooh unajua kunichombeza
ooh hodari wa kubembeleza
ooh wewe pekee umeniweza
ooh ukinishika najilegeza
umeniweza baba, umeniweza mama
ooooh
tabasamu mpenzi w-ngu tujenge family
sasa uwe baba wa wanangu nikuzalie mapacha
una kisu kikali, kula nyama usijali
si unajua silali, bila kufika safari
tule chumvi na tuufike uzee
wa minya minya nyanye tuwapuuze
kabla kulala unipigie zeze
kitandani linibembeleze
nijivunie nani kama si wewe
vingine sitamani vyote napata kwako wewe
ooh unajua kunichombeza
ooh hodari wa kubembeleza
ooh wewe pekee unaniweza
ooh kama mboga na kombeleza
ooh unajua kunichombeza
ooh hodari wa kubembeleza
ooh wewe pekee umeniweza
ooh ukinishika najilegeza
kunichombeza
kubembeleza
umeniweza
kama mboga na kombeleza
kunichombeza
kubembeleza
umeniweza
ukinishika najilegeza
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu charlie cunningham – born
- lirik lagu the bebé culture – mcflurry
- lirik lagu k$upreme – psa freestyle
- lirik lagu halsey – alone (clean bandit mff remix)
- lirik lagu stephen malkmus and the jicks – real emotional trash
- lirik lagu marc bolan – a soldier’s song
- lirik lagu robbie russell – a sign
- lirik lagu shahyar ghanbari – naab (pure)
- lirik lagu casen pointe – the i am
- lirik lagu face to face – the good left undone