lirik lagu kapaso bkp – paka la bar
eti nikung’ang’anie nijiachiee
nicheat nikuone nivumilie
aaah kutwa nilie kisa wewee
simu yako unaishika mwenyewe
nikung’ang’anie nijiachiee
nicheat nikuone nivumilie
yaani kutwa nilie kisa wewee
simu yako unaishika mwenyewe
ukiniona mbwa mi nakuona paka la bar
hata nikukute juu ya kifua hakuna ninacho shangaa
ukiniona mbwa mi nakuona paka la bar
hata nikukute juu ya kifua hakuna ninacho shangaa
hauna chochote ambacho mimi nikitakachoo eehh
we kipima joto mi nilikuvumiliaga kwa upepoo
kinguoni kikulacho unakodoa machoo
ulinikimbia ila sasa nakula marafiki zakoo
nilikuwa zamani kuniona katuni
wa kuniangalia kwenye video
ila sasa mimi nakuona bosheni maaana yanakupita ya ki leo
oya kwani kulikoni kwani kuna nini waunii
kwani kuna jambo gani mbona kama chura wapo barazanii
tuna walambisha konii kama pikipiki na honii
ukinipiga na k~mwaga kama moni wa setrozonii
ukiniona mbwa mi nakuona paka la bar
hata nikukute juu ya kifua hakuna ninacho shangaa
ukiniona mbwa mi nakuona paka la bar
hata nikukute juu ya kifua hakuna ninacho shangaa
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu m!llenn!um – road for young
- lirik lagu chronix (pop) – that was then, this is dumb
- lirik lagu smokedope2016 – loan
- lirik lagu tracey brakes – wand of tens
- lirik lagu the unforgiven (1986) – cheyenne
- lirik lagu mc kevin – amassa a placa 3
- lirik lagu dragon boys – radiofone caracol 2
- lirik lagu lizzo – pink
- lirik lagu hindia – bayangkan jika kita tidak menyerah
- lirik lagu 1-800-pain – crack (sped up)