lirik lagu k son rap – tatizo
tatizo vita ucrein mafuta bongo yanapanda bei..imekuwa tatizo../gharama maisha zimepanda mkiongeza tena tozo inakuwa bonge tatizo../msemaji akiwa tive ake hili nalo tatizo../dili za magendo mkikosa uzalendo..mkikosa upinzani..bunge la ushindi wakishindo/..kwenye jiji la makala..mgambo na mchinga kariakoo../bado tupo local vp international..pia ni tatizo../tatizo ni madawa ya kulevya mateja panya rodi../wengi wana kwepa kodi..wagonjwa wanafia kwenye wodi../unyanyasaji ukeketaji mila zakijadi bado nitatizo../
tatizo mn~z~ngua mnajijua../
tungo zakitoto..kimuziki hamjakuwa../ tatizo hamjiziki vitabuni..
ngoma zenu zikitoka../zote n~z~tia tu kapuni../tatizo hamfati misingi hata kanuni../hamjui kuwa hiphop utamaduni../tatizo mnajikuta wabishi taikuni..mpo bongo kimawazo ughaibuni../mnatamani mgekuwa lildark..lilbaby tatizo haliduni../
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu $ir abe – faygoland (og)
- lirik lagu soloin – i’m fine
- lirik lagu soundslikeotto – stop time
- lirik lagu witch fever – initiation
- lirik lagu mongol800xwanima – 愛彌々 (aiyaiya)
- lirik lagu snorunt – bedroom
- lirik lagu beans on toast – tree of the year
- lirik lagu joseph shirley – first kiss
- lirik lagu billy howerdel – follower
- lirik lagu sihazz – j.e.r.