lirik lagu k son rap – mitambao
natambaa mitambao wanashangaa mshangao..shauri zao..sina story nao..nakanyaga kama simba babalao..kipenz cha warembo..dada zao..nishapiga sana bao..sina skendo wala sina mpango nao..natambaa mitambao..nipo juu zaidi yao..wamebaki na roho mbaya zao..na bado tunaishi nao..nipogado..king in the jungle..nenga sina jambo..nastream bila bando..mi naishinao kwa upendo..dhidi ya maneno ni vitendo..dili za magendo..michongo
magari na mijengo..mitambao napita kilachocho..nishapita kwenye msoto..maghetto..nimeng’atwa viroboto..mpaka coco kwenye freestyle battle..mchafu kama dampo..nipo mbele kama intro..nakula gull time..nakula vitu kwenye kiko..nyama kwenye jiko..
madikodiko mitambao mpaka yan kokoriko..kwenye radio hii ndo jingo..wakizingua napiga chini kama window..natambaa na mitambao..mawio na machweo..nishapita sana kwenye anga zao…
east cost amazingu amazao..kwenye hii mitambao..habari zangu watazipata ..kwenye mitandao..
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu lionaire – run it up
- lirik lagu t.w.r. – niebieskie jak ocen oczy
- lirik lagu cubbie & skepsiz – sterne für dich
- lirik lagu headstones – everything or nothing at all
- lirik lagu the brothers four – the borning day
- lirik lagu dolltr!ck – heaven
- lirik lagu mario fuscaldo – la primera vez
- lirik lagu azteca, brokn & exposure – a â vip
- lirik lagu djtiaguim – all day nigga
- lirik lagu armonia 10 – el escritorio