lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu jovi’al – unanikosha

Loading...

baby zima taa tunapoianza hii sakata
hapo hapo swadakta, nadata na huba lako
tumba prakata rhumba chakacha, ai mbambata
wanichezesha na kwaito
baby nipe tena, tena
niwe chachu ya birimbi
unanibembeleza
mwakipesi na sheringe
niite niite hata ki~utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka

niite niite hata ki~utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
unanikosha roho, unanikosha roho
unanikosha roho, unanikosha roho
najijua najijua
nikipenda wivu unanisumbua
tena unanishanigundua
mi kwako najishebedua
yaani mambo kwako sambamba
nikiwa nawe niko salama
kitandani mechi kandanda
tunacheza kandanda
niite niite hata ki~utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka dеka
niite niite hata ki~utani
jaguar mwenyеwe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
unanikosha roho, unanikosha roho
unanikosha roho, unanikosha roho


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...