lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu jeshi (ke) – ibambe

Loading...

[intro: andybolo]
(black hole)

[verse 1: oloso]
ngori, ngori, ngori
hii ni time ya k~mada story, story
ndani ya club bila worries, worries, worries
ziki~burn tu vi~slowly, slowly, slowly
si ametingisha na hachoki
cheki, choma mbichwa, leo hauogopi
anawakilisha kwa magoti
akisema amesema, leo hatoki
eh, leo mpaka kesho
ita waiter, ita waiter, double double
order zote zote, moto moto
vitu umesete, ndogo ndogo
kwanza nishacheki wale wamebleki
sijui, ni makeki wamemeza kweli?
ni moto kihoteli, samaki ama meli
imebamba kweli, inabamba kweli

[chorus: oloso]
ibambe (ibambe)
ikibamba, iwake (iwake)
kila mtu na wake (na wake)
mwenye hana ahandwe (ahandwe)
ibambe (ibambe)
ikibamba, iwake (iwake)
kila mtu na wake (na wake)
mwenye hana ahandwe (ahandwe)

[verse 2: andybolo]
kama form nimejipa, usiogope, agiza
leta hizo shots, leo usiku ni kuzima
leo usiku ni kulima hawa madem wako na figure
madem hawana figure wafungiwe tu kwa giza
juu mi nadai kujibamba
na kukibamba unajua kutawaka
na kukiwaka kuna fisi wako rada
so shika wako, k~mbatia, funga chapter
na kama bill [?], bado unalipa
ufala mingi, huku hatukuitisha
unachachisha hizi funky, unatisha
kiherehere mingi, peleka bedsitter
ukijichocha na madem, mi nawaiba
sitatii, saa nawaacha wakiimba
sitasita, hii ni jeshi ya masimba
kaeni mbali juu hamwezi kutuwinda

[chorus: oloso]
ibambe (ibambe)
ikibamba, iwake (iwake)
kila mtu na wake (na wake)
mwenye hana ahandwe (ahandwe)
ibambe (ibambe)
ikibamba, iwake (iwake)
kila mtu na wake (na wake)
mwenye hana ahandwe (ahandwe)

[verse 3: bh]
so zima stima, juu zimeshika
tuko moshi, na sio shisha
choma picha (uh)
lipua speaker, watu waanze to katika
we, dj, rudia tena (ati?)
rudia tena, tena, tena tu, na tena
juu hizi vitu tunatenda, siwezi sema (ah~ah)
niko ndethe tu na dem juu ya meza (uuwi)
zima stima, juu zimeisha (uh)
tuko moshi, na ni mambichwa (ss~ss)
choma picha, lipua speaker (ati?)
lipua speaker, watu waanze to katika (wow)
we, dj, cheza cheza (cheza cheza)
fanya mpaka hawa ma~gyaldem wanateta (wanateta)
tunakesha (tunake~)
tunakesha (black hole)

[chorus: oloso]
ibambe (ibambe)
ikibamba, iwake (iwake)
kila mtu na wake (na wake)
mwenye hana ahandwe (ahandwe)
ibambe (ibambe)
ikibamba, iwake (iwake)
kila mtu na wake (na wake)
mwenye hana ahandwe (ahandwe)
ibambe (ibambe)
ikibamba, iwake (iwake)
kila mtu na wake (na wake)
mwenye hana ahandwe (ahandwe)


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...