lirik lagu jerebet – sifai…wanipenda
verse 1:
ni rahisi kujidharau
mimi ni wa dhambi sina, nguvu
kweli mi ni rafiki wako, yesu?
sifai (fai), fai (fai), fai (ooh)
sifai (fai), fai (fai), fai
nang’ang’ana kunena ukweli
nashangaa ananitumia, (mimi? yeah)
shida ni najua mapungufu, yangu
sifai, (fai), fai (fai), fai (ooh)
sifai (fai), fai (fai). fai
chorus
kwa neema yako, haki yangu ni bure
kwa rehema zako, mimi nimekombolewa
nami najivunia, kwa imani si matendo
kwani wanipenda (penda), penda (penda) , penda (ooh)
na wanipenda, (penda), penda (penda), pendaaa
verse 2:
nimekuja kujua nimejiangalia sana
nikidhani ni uwezo w~ngu sio wako bwana
nikajikwamiza nikibeba mzigo
eti sina, roho, mfanano wako!
kajua ni adui na uongo, uongo
kama wakati wa adamu na hawa
hata kama musa alijishuku alitenda makuu ya yesu
ooh,ooh,ooh
ya yesu, ya, ya yesu
ooh, ohh, yeahhh
ya yesu, ya, ya yesu
yeah!
chorus:
kwa neema yako, haki yangu ni bure
kwa rehema zako, mimi nimekombolewa
nami najivunia, kwa imani si matеndo
kwani wanipenda (penda), penda (pеnda) , penda (ooh)
na wanipenda, (penda), penda (penda) , pendaaa
bridge:
hakika, wema nazo fadhili, yeah
zitanifuata mimi
nitakaa nyumbani mwa bwana
siku zote za maisha yangu, oooh
chorus:
kwa neema yako, haki yangu ni bure
kwa rehema zako, mimi nimekombolewa
nami najivunia, kwa imani si matendo
kwani wanipenda (penda), penda (penda) , penda (ooh)
na wanipenda, (penda), penda (penda) , pendaaa
wanipenda, penda, penda
wanipenda, penda, penda…
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu kieth montana – fybf
- lirik lagu ewamaru – cannabis
- lirik lagu raja kumari – the don
- lirik lagu bada (바다) – off the record
- lirik lagu slave raider – is there rock ‘n’ roll in heaven?
- lirik lagu dareen – araseek | ارسيك
- lirik lagu benc – backwoods
- lirik lagu 805 enavol – cuf (club until five)
- lirik lagu ruggedman – a word is enuff for the 9ice
- lirik lagu teejay – judas