lirik lagu ibrah nation – unitoke
k-mbato na busu
ndio vyakunidanganyia
nami niamini napendwa kwenye dunia
je nikigeuza shingo unanifikiriaga?
mbona nikipiga sim hutak kupokeaga!
sina dhamana
sijakuzaa
unamaamuzi yako
k-mpenda anaekufaa
ningejaliwa mali
ningekupa
usiwaze mwingine tena
unipende tuu mi dada
umenikoleza na nimekolea
nikajua moyo utatulia
kwenye jamvi yeah
sikuja kwako mi nije kulia
niliona furaha dear
nikaweka kambi yeah
nitafanya ninachoweza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
kama muda nimeshapoteza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
unitokeee
siwez kujidanganya
najua wanichanganya
mwenzangu amenizidi utundu
huwa nakuona
mara nyingi ukiongea nae
natamani nianzishe mavurugu
sina dhamana
sijakuzaa
unamaamuzi yako
k-mpenda anaekufaa
ningejaliwa mali
ningekupa
usiwaze mwingine tena
unipende tuu mi dada
umenikoleza na nimekolea
nikajua moyo utatulia
kwenye jamvi yeah
sikuja kwako mi nije kulia
niliona furaha dear
nikaweka kambi yeah
nitafanya ninachoweza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
kama muda nimeshapoteza
(ili unitoke kwenye akili yangu)
na moyo w-ngu
(unitoke)
unitokeee
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu натали (natali) – сегоднячко (segodnyachko)
- lirik lagu todeskommando atomsturm – früher war da doch mal hass
- lirik lagu efrim manuel menuck – a lamb in the land of payday loans
- lirik lagu londrelle – shine on love
- lirik lagu the dollyrots – i do
- lirik lagu moosh & twist – tomorrow
- lirik lagu abis & signal – the wall
- lirik lagu wolf castle – awaken
- lirik lagu barsthehippie – in my head again
- lirik lagu choir vandals – at night and in the rain