lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu haitham – ananichora

Loading...

[verse1]
muda mwingine nakuhisi kama wale wale
moyo ukauchimba n’a kuuacha tambarareeeee
don’t you see nakupambania ulale  ule ulaleee
k~mbe ndo mlivo wanaume wa leo

ninachoitaji unipe love nashangaa umenimix kwenye collaboo
ka roho kananiendaa juu
nikijishusha bado nakula za mbavu

[chorus]
aah k~mbe ana ni choraa ananichora
mwenzenu ananichora
bila aibu ananichora

[verse2]
wajibu w~ngu kupata banana
halua nimpatiee
n’a huwa namkiss akilala lakini sawa n’a bure

penye yangu mapungufu mi ananichocha
nakuniweka hadharani

n’a pâle napomwitaji ye mwenzangu anataka dola
[chorus]
aah k~mbe ana ni choraa ananichora
mwenzenu ananichora
bila aibu ananichora


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...