lirik lagu elani – hapo zamani
[verse 1: wambizzy]
rauka jamaa, k-mekucha
miaka k-mi na sita, kidato cha kwanza
pokea salam, siku mpya
insyder za kwanza, zasifiwa boma
kaipokea tetesi, mwaja shule ni wikendi
barua uliyoituma imeshasoma na
sijaweza kupumua, moyo wangu waridhika
sijaweza kupumua
[hook]
hapo zamani nikajua ningekuoa
hapo zamani ukiambiwa
unapendwa, waamini
ukipendwa, una imani
[verse 2: maureen]
nilikuwaza sana michana kutwa
wewe suk-ma mimi ugali wishwa
na tulipendana kinyama
nikaipokea tetesi, una mwingine
akula mishikaki, aishiye kifahari
mi sikuweza kupumua, moyo wangu kavunjika
sikuweza kupumua
[hook]
[verse 3: brian chweya]
sikujua, miaka k-mi na sita
siyo miaka, ya kuelewa dunia
sikujua, miaka k-mi na sita
siyo miaka, ya kuelewa mahaba
woyoooo
woyoooo
[hook]
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu tora – overcome
- lirik lagu king flee – stain gang
- lirik lagu kmakze – a white kid from the ‘burbs
- lirik lagu assassin’s creed sea shanties – handy me boys
- lirik lagu karaka – je vise le haut
- lirik lagu ziggy marley & the melody makers – tomorrow people
- lirik lagu laas unltd. – heisser winter
- lirik lagu victor love – machine gun
- lirik lagu vic apollo – h2o
- lirik lagu yesyou – so much to give (feat. jordan rakei)