lirik lagu diamond d – mawazo
(chorous)
ningekuwa na uwezo ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo,maana mchana kutwa hata usiku silali mapenzi kw-ngu kikwazo
(ve-rs- one)
sikujua mapenzi balaa tena ni maladhi ya moyo kupendaga…
tena mapenzi karaha yanajenga chuki na choyo kwenye kava…
utu w-ngu unathamani inamaana kweli hakuvijua!
licha ya burudani namapenzi yangu akayatimua
utu w-ngu unathamani inamaana kweli havijuaa!
mmmh! licha ya burudani ndani akaamua kutimuaah! (inauma sana)
(chorous)
ningekuwa na uwezo ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo,maana mchana kutwa hata usiku silali mapenzi kw-ngu kikwazo. (rudia kuimba mara mbili)
verse2
ona jini kisirani kaingia kwenye utamu wa penzi langu
ameleta tafarani naumia nalia na moyo w-ngu…
ona jini kisirani kaingia kwenye utamu wa penzi langu
ameleta tafarani mwenzenu nalia na moyo w-ngu
kweli wivu me ninao na roho yangu inaumiaa
kweli wapenda nao ndo maadui zikitimia!
lile tunda langu la mara leo limekuwa sumu kw-ngu
ona tena sina raha me nacheka nalia na moyo w-ngu
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu jet (band) – look what you’ve done
- lirik lagu hypa x sloc x murda – honest
- lirik lagu istanbul attack – elleri çak
- lirik lagu maxwell young – she makes me feel comfortable
- lirik lagu slenda – role model (remix)
- lirik lagu young peach – swag到爆
- lirik lagu adi – עדי – save me from myself
- lirik lagu funkero – chapa quente
- lirik lagu marcus warner – the calling
- lirik lagu laura st. jude – the devil’s daughter