lirik lagu dalian – tafadhali
verse 1
kipaji hiki ulinipa nikusifu baba
si eti kwamba mi’ ni mzuri zaidi ya wote ah! ah!
injili yako nikisare nichukue baba
nikisare nichukue baba
kalamu shika hizi nyimbo niandikie baba
sauti yangu itumie utakavyo baba
mi naomba aaah
pre-chorus
nataka wakisikia na nyimbo zangu
waseme huyo mungu wako ndiye na mimi nataka kw-ngu
wakisikia na hizi nyimbo zangu
waseme huyo huyo huyo mungu wako
ndiye na mimi na’taka kw-ngu
chorus
[tafadhali (tafadhali)
nipe uwepo (uwepo wako)
wakiniona wanakuona
eh baba eeh]-2
verse 2
wakiniskia wakuskie
wakiniona wakuone
nipe neema yako, nipe rehema zako
roho wako aniongoze
na nyimbo zangu n’siwapoteze
baba uimbaji w-ngu, uwe kama biblia kwao
pre-chorus
nataka wakisikia na nyimbo zangu
waseme huyo mungu wako ndiye na mimi nataka kw-ngu
wakisikia na hizi nyimbo zangu
waseme huyo huyo huyo mungu wako
ndiye na mimi na’taka kw-ngu
chorus
[tafadhali (tafadhali)
nipe uwepo (uwepo wako)
wakiniona wanakuona
eh baba eeh]-2
bridge
-melodies-
nipe nipe nipe nipe unipe uwepo wako, baba
nipe nipe nipe nipe unipe uwepo wako…
chorus
[tafadhali (tafadhali)
nipe uwepo (uwepo wako)
wakiniona wanakuona
eh baba eeh]-2
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu hussein al nabulsi – my code
- lirik lagu mattos nascimento – arrebatamento
- lirik lagu jair – pick it up
- lirik lagu chris rock – the south
- lirik lagu veen & kiienka – dey4u
- lirik lagu panik – coming home
- lirik lagu scott murphy – what if
- lirik lagu og_opium & grape jape – приматы
- lirik lagu moonmanflo – myself-angels
- lirik lagu spaceman zack – wasteland