lirik lagu cherry – ole
moyo umechoka kuteseka
(no bhana hapana)
marafiki mapenzi visa yeah
mood yangu ya kusaka pesa
sina habari nao sitaki kuboreka
(no bhana hapana)
tarariraaa nakudelete uende
sitaki pressure kuteseka daily
tarariraaa nakudelete uende
sitaki pressure kuteseka daily
najipa nafasi (ole, ole, ole)
mawazo sitaki (ole, ole, ole)
kwani sh ngapi (ole, ole, ole)
najipa nafasi (ole, ole ole)
nawa kata, kata, kata kata kaah ta
acha niupoze moyo
nimwagilie moyo
niuridhishe moyo
nshachoka hizo ndombolo
wabaya watu, kucheza rafu
sitaki katu me nawakataa tu (no bhana hapana)
mambo ya watu, issue za watu
weka kwa kapu hapa ku party tu (oh leo leo)
najipa nafasi (ole, ole, ole)
mawazo sitaki (ole, ole, ole)
kwani sh ngapi (ole, ole, ole)
najipa nafasi (ole, ole ole)
nawa kataa, kata, kata kata kaah ta
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu muharrem aslan – oranlama
- lirik lagu graduate (mod) – watching your world
- lirik lagu olaedo ibe – the divine exchange
- lirik lagu psychopomps – wonderful world
- lirik lagu dark legacy – at the graveyard
- lirik lagu soundsbysoop – tic tac!
- lirik lagu the fak brothers & lil swater – dissing & s*ht
- lirik lagu number teddie – cala boca, por favor
- lirik lagu leroyce – 4am in atlanta
- lirik lagu dark legacy – land of sorrow