lirik lagu cherry (tz) – ole
[intro]
kimambo on the beat
[verse 1]
moyo umechoka kuteseka
(no bhana hapana)
marafiki mapenzi visa yeah
mood yangu ya kusaka pesa
sina habari nao sitaki kuboreka
(no bhana hapana)
[bridge]
tarariraaa nakudelete uende
sitaki pressure kuteseka daily
tarariraaa nakudelete uende
sitaki pressure kuteseka daily
[chorus]
najipa nafasi (ole, ole, ole)
mawazo sitaki (ole, ole, ole)
kwani sh. ngapi (ole, ole, ole)
najipa nafasi (ole, ole ole)
nawa kata, kata, kata kata
[verse 2]
acha niupoze moyo
nimwagilie moyo
niuridhishe moyo
nshachoka hizo ndombolo
wabaya watu, kucheza rafu
sitaki katu me nawakataa tu (no bhana hapana)
mambo ya watu, issue za watu
weka kwa kapu hapa ku party tu (oh leo leo)
[chorus]
najipa nafasi (ole, ole, ole)
mawazo sitaki (ole, ole, ole)
kwani sh. ngapi (ole, ole, ole)
najipa nafasi (ole, ole ole)
nawa kata, kata, kata kata
[outro]
ole ole ole
mawazo sitaki (ole, ole, ole)
kwani sh. ngapi (ole, ole, ole)
najipa nafasi (ole, ole, ole)
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu dimiko – bury me a g
- lirik lagu enchik – flight (полёт)
- lirik lagu captown – место (place)
- lirik lagu wandra x woro widowati – tau tatu
- lirik lagu kimmon warodom – ปากแข็ง (stubborn)
- lirik lagu devin millar – unconditional love
- lirik lagu mirewave – noćna zemlja
- lirik lagu silver branch – big decisions
- lirik lagu metrika zf – lilith
- lirik lagu filippo andreani – mi chiamo nessuno