lirik lagu cherry (tz) – nimekubali
Loading...
[verse 1 ]
kila nikifumba macho
naona taswira yako
hata sauti haijanitoka aah
kila kona niendako
nahisi uwepo wako ooooh
mpaka harufu yako inanitesa aaah
bado nawaza aah, ama ni ndoto ya mchana
hivi mazima umekwenda
hautarudi, unanitaniaa
kwanini umekuwa katili
uliahidi tutabaki wawili
furaha umeizima,mood yote umekata
siwezi ficha umeniweza miee
hivi kwanini umekua katili
unanitesa nakonda mwili
kurasa umegeuza,mwendelezo umechana
sina cha kufanya
nabaki kulia
[chorus]
(uuh uuuhh uuhhh uuuhh)
nimekubalii,umeamua kunitoa machozi
nimekubali, furaha yangu igeuke majonzi
nimekubalii iiih, umeamua kuniachia simanzi
nimekubali, hata nikikataa nitafanya nini
uuuuh, uuuuuh, uuuuuh, uuuuuuhh
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu jay vest – half time
- lirik lagu rice flerf – another brazillian song (brazillian hyperfunk)(prod. sanches)
- lirik lagu yazmin lacey – legacy
- lirik lagu bryson gray – 7 days (intro)
- lirik lagu alltta – shit talk king
- lirik lagu julian jordan – aspirin
- lirik lagu artur karton – баблгам (bubblegum)
- lirik lagu ники ко мори (niki ko mori) – moon
- lirik lagu kroi – pulse
- lirik lagu giuse the lizia – erba