lirik lagu bossbele – mapenzini
verse1:
mikutano ya siri, kwenye kiza kinene
hukutaka subiri, nikamate mapenny
ungeweza kukiri, mi ningejikita kwingine
umeficha… ona muziki munene
ahaa
bridge:
au hii ndo gharama, ya kukupenda wewe
mzigo wa lawama, najibebesha mwenyewe
nakutakia salama, tutakutana mbeleni
namuonea huruma, mwenzangu na mimi
chorus:
kutwa umenuna
ukiitwa unachuna
amani hakuna
mapenzi oh, mapenzi oh oh…
verse2:
hivi ulikosa nini, kutaka kwangu upewe
kama maisha uliwini, ilibaki uolewe
mabuzi wote nchini, masharobaro mjini
bado ukang’ang’ana nami, lakini kwanini…
ahaa
bridge:
au hii ndo gharama, ya kukupenda wewe
mzigo wa lawama, najibebesha mwenyewe
nakutakia salama, tutakutana mbeleni
namuonea huruma, mwenzangu na mimi..
oh oh…
chorus:
kutwa umenuna
ukiitwa unachuna
amani hakuna
mapenzi oh, mapenzi oh oh…
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu k-odd-ik – no reason
- lirik lagu times’doend – control verse pt.ii
- lirik lagu kain – black panther party
- lirik lagu chosz – tova, koeto jiveem / това, което живеем
- lirik lagu siks&ockane – plus rien n’est comme avant
- lirik lagu tim maia – haddock lobo esquina com matoso
- lirik lagu idk – shit on my rivals
- lirik lagu joey trap – too sick
- lirik lagu atw – lawn
- lirik lagu have mercy – collider