lirik lagu bony kichaa – kuna siku
song:kuna siku
artist:bony kichaa
verse:1
kuna siku naamka me nawaza
mf-koni sina kitu mimi tumbo halijasaza
navumilimia mateso nanyamaza
najua napata kesho najikaza
kuna siku niko far,sina car
ya kurudi ninapokaa,nina njaa
kuna siku nina chapaa
nakunywa nalewa sometime nalala bar
naponda raha
watoto home w-n-lala njaa
kuna nayamiss maisha ya mtaa
kuna siku natamani nisichoweza kuwa nacho
nakula kwa macho
napanga mipango
sikati tamaa najua ugumu n mwanzo
mimi n-z-di kuhursle
kuna siku natamani mimi niwe na kw-ngu
niwe na changu
niwe na gari yangu nmechoka matatoo
kuna siku natamani kujichora matatoo
kuna siku napata kuna siku nakosa
toka nmekua kuna mengi nmeona
mungu nisamehe kuna siku nmepora
kuna siku natamani natenda dhambi natubu
sitaki maneno naamua nakua bubu
maisha yanakuwa magumu nahisi nmepigwa juju
nataka sipati,tamaa sikati
mashaka zake nyakati
kuna siku!
natizama photo
msoto unafanya nitamani utoto
kuna siku!
mimi tajiri wa ndoto
njaa inafanya nik-mbuke kiporo
kuna siku!
nayawaza mapenzi
namuwaza mpenzi mpenzi wa enzi
silali nakesha
hayo yote kisa ni mawazo yapesa
mawazo ya keja
yananipa hope kuna siku nitajenga
kuna siku!
nak-mbuka marafiki walio r.i.p
naamini kuna siku watakuwa na mimi
{bridge}
kuna sikuuu!!!!!!kuna siiiiiku kuna siku
aaaaaahhhh!!!!!
natizama mbinguni namuona mungu baba
{repetion}
kuna siku naamka me nawaza
mf-koni sina kitu mimi tumbo halijasaza
navumilimia mateso nanyamaza
najua napata kesho najikaza
kuna siku niko far,sina car
ya kurudi ninapokaa,nina njaa
kuna siku nina chapaa
nakunywa nalewa sometime nalala bar
naponda raha
watoto home w-n-lala njaa
kuna nayamiss maisha ya mtaa
kuna siku natamani nisichoweza kuwa nacho
nakula kwa macho
napanga mipango
sikati tamaa najua ugumu n mwanzo
mimi n-z-di kuhursle
kuna siku natamani mimi niwe na kw-ngu
niwe na changu
niwe na gari yangu nmechoka matatoo
kuna siku natamani kujichora matatoo
kuna siku napata kuna siku nakosa
toka nmekua kuna mengi nmeona
mungu nisamehe kuna siku nmepora
kuna siku natamani natenda dhambi natubu
sitaki maneno naamua nakua bubu
maisha yanakuwa magumu nahisi nmepigwa juju
nataka sipati,tamaa sikati
mashaka zake nyakati
kuna siku!
natizama photo
msoto unafanya nitamani utoto
kuna siku!
mimi tajiri wa ndoto
njaa inafanya nik-mbuke kiporo
kuna siku!
nayawaza mapenzi
namuwaza mpenzi mpenzi wa enzi
silali nakesha
hayo yote kisa ni mawazo yapesa
mawazo ya keja
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu regula – 06
- lirik lagu louis – blow the whistle
- lirik lagu fire in the spoof – shellers | batman vs vegeta
- lirik lagu sorry drummer – tudo um dia faz sentido
- lirik lagu xenith – background
- lirik lagu kevin & karla – acuarela
- lirik lagu tye tribbett – so amazing
- lirik lagu front porch step – so help me god
- lirik lagu ladron – vengo a pedir tu mano
- lirik lagu o’hene savant – devils