lirik lagu blessed paul – moyo wangu
kuna maneno ya uzima, nimesikia
kando ya kisima, cha yakobo
kama ungalinijua mama, ungeniomba
yangu ya uzima, shida zako ni ndogo
mmmh
ayanywaye maji haya, suluhisho ya muda
ila ayanywaye ninayo toa, hataona kiu tena~2
moyo w~ngu tulia
tulia kwa bwana
usifadhaike maana
bwana yuko nawe
ona kijito cha tiririka, toka enzini
hapo kando umenipanda, daima mbichi kijani
wakati wa kuzaa na uso wa kuzaa mimi nitazaa matunda mema
nitaingia mtaa na ujube ya kuwa, nimempata hasiyebadilika
njoni nyote mnywe maji, kwa maji haya
mavazi yakifuliwa, yanatakata~2
moyo w~ngu tulia
tulia kwa bwana
usifadhaike maana
bwana yuko nawe
wakati wa kuzaa na uso wa kuzaa mimi nitazaa matunda mema
nitaingia mtaa na ujube ya kuwa, nimempata hasiyebadilika~2
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu bloody ruckus – 1 in da chamber
- lirik lagu adia victoria – mean-hearted woman
- lirik lagu simon diz – o chamado
- lirik lagu 비바 (viva) [kor] – secret paradise
- lirik lagu crywank – i am a rockstar who is really cool and sexy
- lirik lagu red_e¥e – running – reprise
- lirik lagu sharaktah – in deinen augen
- lirik lagu daniel proper-yates – wifey
- lirik lagu marta savić – ravno do kosova
- lirik lagu nobis – reel in rewind